• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

Ukaguzi wa Ndani

KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

UTANGULIZI

Kitengo cha ukaguzi wa ndani kimeanzishwa chini ya kifungu 45 (1) cha sheria ya fedha ya mamlaka ya Serikali za mitaa Na 13 ya mwaka 1982.

Kitengo hiki kinatekeleza majukumu yake kwa kushirikiana na Kamati ya Ukaguzi.Kitengo cha ukaguzi kina majukumu mbalimbali kama yalivyoainishwa hapa chini.

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

  • Kuratibu kazi za ukaguzi.
  • Kutoa ushauri kwa Afisa Msuuli katika matumizi ya fedha.
  • Kufanya ukaguzi wa akaunti za vijiji,hospitali na mashule yanayopokea fedha kutoka halmashauri.
  • Kuweka sawa mifumo ya uhasibu, uhakiki wa malipo na ukusanyaji wa mapato.
  • Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo
  • Kupitia taarifa za ukaguzi wa ndani na nje kwa kushirikiana na uongozi
  • Kukagua na kutoa ushauri sahihi ili kuboresha utawala bora
  • Kuandaa mpango mkakati wa ukaguzi.
  • Kufanya ufuatiliaji na ukaguzi na usimamizi wa fedha zote za Halmashauri zinakusanywa na halmashauri kwa kutumia mifumo ya kieletroniki.
  • Kufanya ukaguzi wa matumizi ya fedha zote za Halmashauri na kuandaa taarifa kwa Afisa Masuuli.
  • Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na mali za Halmashauri pamoja na kuhakiki uwepo wa thamani ya fedha.
  • Kuhakikisha malengo ya halmashauri yanafikiwa na kuwa na uwajibikaji.
  • Kuhakikisha kuwa sheria, kanuni na taratibu za fedha za serikali zinafuatwa kama zilivyo ainishwa kwenye sheria mbalimbali za serikali.

Matangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2021 December 18, 2020
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTION) KIDATO CHA KWANZA 2021 KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA HALMASHAURI December 15, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI LEO 6/09/2017 September 06, 2017
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 12, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JUMLA YA KAYA 6172 ZA WANUFAIKA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI (TASAF III) WILAYANI MVOMERO WAMEPOKEA KIASI CHA SHILINGI MIL. 288,888,000/= AWAMU YA 25

    March 02, 2021
  • Mkurugenzi Mtendaji Awaagiza Maafisa Mifugo Kubadilika na Kukaa Kwenye Vituo Vyao Vya Kazi.

    February 17, 2021
  • Mh.Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Aagiza wawekezaji kujitokeza kwa wingi Kujenga Viwanda Vya kuzalisha Sukari

    February 16, 2021
  • Mkuu Wa Wilaya Apokea na Kugawa Vifaa Vya Msaada Kwa Waathirika wa Mvua na Upepo mkali Vijiji Vya Kipera na Kinyenze

    January 14, 2021
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.